Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia jambo katika mazungumzo kati yake na Mbunge wa Mkuranga na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Adam Malima (watatu kulia), Mbunge wa Kigoma Kusini David Kafulila (wapili kulia) na Mbunge wa Gairo Ahmed Shabiby.

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Busega, Titus Kamani kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Pica ya chini kabisa, koti la Pinda limekuwaje leo?

    ReplyDelete
  2. Dah! naona wote wanatabasam, posho ya 330,000tsh kwa siku si haba. Huku madaktari wetu wakipewa posho ya mwekundu wa msimbazi mmoja kwa siku (10,000tsh). Bravo JK!!

    ReplyDelete
  3. Hivi wanajua wanachokifanya kweli watu wanakufa ovyo muhimbili nyinyi mnatabasamu.......

    ReplyDelete
  4. Kafulila mbona kila siku unavaa nguo hizo hizo tu?

    ReplyDelete
  5. wanaonekana kufurahia maposho makubwa!!!! Never seen a happy community like that, wot on, jinsi wanavyokula nchi. Wajukuu zetu will have nothing, mali yote itakuwa mikononi mwa hao wachache. Eti wanamikopo, do they need loans or loans are a personal matter!!

    ReplyDelete
  6. Hawa watu wa Mkapa mbona wana vunjika vunjika miguu

    ReplyDelete
  7. kazi kweli sasa hawa madaktari si mngewapa hizo posho nao wacheke kidogo,jaman nisaidien rita mlaki ni mbunge tena???????

    ReplyDelete
  8. Majina ya wanawake yanakosa.

    ReplyDelete
  9. huyo aliyevunjika mguu ni mbunge wa jimbo gani?

    ReplyDelete
  10. Mheshimiwa nakushauri umweleze PM kuwa mguu wako utakatika kwani wa kukuandikia kibali cha kwenda apolo wako kwenye mgomo!! Cijui ile green card yako iko live! otherwise no more apolo!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...