MENEJA WA BENKI YA MAENDELEO YA KIISLAMU {IDB } BWANA MALIK SHAH AKIZUNGUMZA NA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI HAPO OFISINI KWAKE VUGA MJINI ZANZIBAR.
BALOZI SEIF ALI IDDI (WA PILI KULIA) AKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA UJUMBE WA BENKI YA MAENDELEO YA KIISLAMU { IDB } ULIOFIKA OFISINI KWAKE KUZUNGUMZA NAYE LEO.IDB NI MIONGONI MWA BENKI INAYOFADHILI WANAFUNZI WA KITANZANIA KUPATA ELIMU YA JUU KATIKA MATAIFA YA MASHARIKI YA KATI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...