Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwezeshaji na Uwekezaji) Dk. Mary Nagu (Mb) akiwasha jiko la Gesi mara baada ya kuzindua rasmi vikundi vya Akiba na mikopo kukopeshana majiko ya Gesi, katika viwanja vya Kidongo Chekundu, Mnazimmoja Dar es Salaam jana, katikati ni mwenyekiti wa Jumuiya ya kukuza Uchumi Manisipaa ya Ilala (JUKUILA), Musa Salum. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. ni jambo la kumuunga mkono mheshimiwa waziri Dk Mary Nagu. pia tunaomba ili mikopo hii iwe ya tija iangaliwe bei ya gesi ili kufanya mikopo hii ipate ufanisi.

    ReplyDelete
  2. Alhaj Anzuruni Mungula nimefurahi kukuona ukiwa front line na Mheshimiwa Mary Nagu mkimsapoti kijani wetu Musa Salum kwenye hiyo project.

    ReplyDelete
  3. tataizo siyo majiko ya gesi jamani, tatizo ni hiyo gesi yenyewe iko wapi ?? hilo jiko hatimaye litajaa kutu au mavi ya panya maana halitatumika , huyo waziri angeenda kwanza huko songo songo kuuangalia huo mradi wa kuzalisha gesi VIPI ?? mbona gesi iko juu sana kiasi cha kushindana na umeme -moja kati ya hizi nishati sharti iwe bei ya chini. Zebedayo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...