Waziri wa Nchi Ofis ya Makamu wa Rais - Mazingira,Dkt Terezya Huvisa akimsikiliza Waziri wa Afya na Ustawa wa Jamii,Dkt. Haji Mponda ambae ni Mbunge wa jimbo la Ulanga Magharibi Wakati wa Mkutano wa Hadhara uliofanyika kijiji cha Lugala kuhusu Mashamba ya wakulima wa Bonde la kilombero Wilayani Ifakara Mkoani Morogoro.kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Bw Francis Miti.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt Terezya Huvisa akitowa Maelekezo kwe Afisa Wanyamapori wa Wilaya ya Ulanga Bw John Makotta kuhusu Mipaka ya Mashamba ya wakulima kwenye Bonde la Mto Kilombero Mkoani Morogoro jana[Picha na Ali Meja].

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Naombea tu mikutano ya WAKULIMA iweinahusisha WAKULIMA wa kikweli!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...