Mechi ya mpira wa miguu kati ya Polisi Mpanda FC (pichani juu) na Halmashauri ya wilaya mpanda iliyochezwa tarehe 20 /01/2012 katika uwanja wa michezo wa AZIMIO mpanda ambapo timu ya polisi iliifunga timu ya halmashauri ya wilaya kwa mabao 2 kwa 1
 Benchi la ufundi la  timu ya Polisi Mpanda FC
 Benchi na mashabiki wa Polisi Mpanda FC
 Mawaidha wakati waa haftaimu
Kiongozi wa timu ya polisi ambaye pia ni OC-CID wa wilaya ya mpanda Nyambalya akifurahia matokeo. Picha na mdau Inus Magoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Sasa hapo kiwanja mbona hakionekani?yaani naona pori tu,wamechezea wapi?

    ReplyDelete
  2. RAS MAKUNJA:

    RI KIKOSI RETU RA MUPANDA!

    HAYA MUGUU PANDE, MUGUU SAWA, BUNDUKI BEGANI WEEEKA!

    Pia pingu hao Halmashauri Mupanda na watoe statimenti kaunta kituoni watuereze kwa urefu iri tuwaandikie RB ni kina nani kati yao wala rushwa?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...