Make:
Toyota
Model:RAV 4
Color:Blue
Year of Manufacture:1995
Engine Capacity:1990
Mileage:166,336
Transmission:Automatic
Tires:Changed in 2009 (Type: GOODYEAR) in very good condition almost new.

Car is in good condition. Price 8.5m.
Call number 0763-475977.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 18 mpaka sasa

  1. Gari ya 1990 kwa pesa hiyo? tena short chasis? hupati mtu ndugu hapo.

    may be kwa 5 hadi 5.5m mwisho

    ReplyDelete
  2. Nakushauri gari hiyo uitoe kama msaada au zawadi kwa ndugu au jamii, utapata thawabu.

    ReplyDelete
  3. Ndugu gari hiyo kwa pesa hiyo umenoa hebu onana na wataalam wa marketing hapa mji wakupe picha du!

    ReplyDelete
  4. hivi watanzania tuna wazimu gani jamani? ni kwanini maisha tunayaweka juu sana?

    hivi gari hiyo imepitwa miaka zaidi ya 15 bado mtu anauza kwa milioni 8?

    hivi hizo hela za tanzania ndio hazina thamani kiasi hicho?

    na upande mwingine jamaa muuzaji hana makosa maana ukiangalia hapo kaileta bongo kutoka labda uk au japan kalipia ushuru si chini ya milioni 5 kwa gari kama hiyo

    chonde chonde tupunguzieni ushuru na tujengeeni barabara tuweze kuleta magari ili kila mtu awe na lake

    ReplyDelete
  5. Duu nadhani umekosea ulitaka kuandika laki nane na nusu. HIYO GARI IMECHOKA SANA. UKIKAA INATIA UVIVU KUMPATIA MTU LIFT. Hata kama una njaa punguza basi angalau fanya 2.5mill utapata wateja.

    Fuata huo ushauri

    ReplyDelete
  6. Ahh Wadau wa Kwanza na wa Pili hapo juu, ILA KAGARI NI KAZURI SANA KWA KWELI ''RED COLOR'' MADEMU MA MISS WANAVIPENDA HASA KANGEKUWA RISIPOKUWA KWA KUFANYA KAMA KA ZAWADI KA ''VALENTINE'' MWEZI UJAO kum sapraizi mpenzi,,,Jamani kuhonga gharama,kunauma isipokuwa ni kutamu sana,,,HASA KWA NYUMBA NDOGO KANAFWAA AU SIYO?

    ReplyDelete
  7. mkibosho umenena bei ni kubwa mno na hasa kwa short chases na iyo model yake,hiyo bei yake ni 5.5 tu hiyo unayoongelea ww ni bei ya 5 doors rav 4 tena model ya 1997

    ReplyDelete
  8. kwa mtoa maoni wa kwanza soma vizuri detals usiripuke.IPia Suala si mwaka bali ubora. Gari laweza kuwa la 2011 lakini mapungufu kibao. Na kama huna pesa kaa kimya au hiyo pesa uliyoweka kanunulie bajaji.

    ReplyDelete
  9. huna nyumba ndogo uonge?kwa bei iyo mie nakuletea ya mwaka 1999

    ReplyDelete
  10. Siku zote Watanzania tuna tatizo la kufanya mambo yetu pasipo kutafuta ushauri wa wataalamu. Mfano mtu anauziwa plot mabondeni, kwenye hifadhi ya barabara, n.k. na anajenga pasipo kuomba ushauri wa wataalamu. Kwa hiyo huyo bwana msimlaumu sana kuuza hiyo gari kwa bei hiyo. Ni kweli sometimes mwaka inaweza isiwe issue sana, lakini 1995!!!!! km 166336!!!!!!!. Bila shaka na kanjaa kidogo kanamsumbua huyo bwana! Na mteja atapata tu. Kwani ndiyo kawaida yetu kuparamia pasipo kuomba ushauri.

    ReplyDelete
  11. Wewe uliyeweka Tangazo usibabaike wala nini hiyo gari utauza tu.Magari yenyewe yamepanda bei kama nini.Wananunuzi hawaweki comment humu watakupigia simu.

    ReplyDelete
  12. Kuhonga kutamu jamani,,,Mwanaume unajisikia Jogoo kwelikweli siku unapompa Kimada Ufunguo!

    Ka gari haka RAV 4 milango mitatu kanafaa kwa kumhonga kimada jamani tena wale shingo nyoro nyoro ma Miss wanavipenda sana wacha cha 1995 hata kingekuwa cha mwaka 1985!.

    ReplyDelete
  13. Ahhh hebu angalieni Wajameni,,,

    Mwanamke amekusumbua saaana ukimtongoza miezi kibao au miaka kadhaa hivi bila mafanikio!

    Sasa leo umempeleka Yadi hadi katika mchuma RAV 4, tena katika hati zake (documents)unaweka dole gumba lako ili asione ni ya mwaka 1995!

    Mzee Mzima umefungua mfuko wa kaki unatoa Mabunda TISA YA NYEKUNDU NYEKEUNDU,,,UNATOA MABUNDA NANE NA MOJA LILILOBAKI UNAKATA KATIKATI UNACHANGANYA KWENYE NANE UNAMPA KARANI WA YADI...HATA KAMA RAV 4 NI YA 1995 KWA NINI DEMU ASIKUONE MFALME?

    ReplyDelete
  14. Henehehe , ahhh nini watu wanahongwa vocha za shs. 500/=,,,wacha hiyo Rav 4 ya mwaka 1995 Mwanamke ukimhonga hata Guta atakuona Rijali Kamili!

    ReplyDelete
  15. mdau namba 8 hapa juu wewe vipi?kama unashida ya pesa kakope huko,hii gari toa zawadi kwa vijana wa kijiweni wakalie chipsi huko ,anglao watakuona mtu.

    ReplyDelete
  16. HIYO INAITWA FREEDOM OF SPEECH

    ReplyDelete
  17. Hahahaaaaa nadhani jamaa kadata, apunguze njaa hiyo gari ina umri wa mtoto wangu wa form 5. Kama ni mwanamke kikongwe thamani hiyo hamna hapo.

    ReplyDelete
  18. Acheni Masihara,

    Weeweweeee, Mwanamke umhonge RAV 4 milango mitatu thubutu, bila wasi wasi atakupatia kile utakacho, hata kama unatumia mtandao wa Voda unaweza ukamuomba akupe laini ya tiGo!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...