Wadau waliohudhuria tafrija hiyo wakifurahia na Mhe balozi wa Tanzania nchini Urusi Captain mstaafu Dr Jaka Mwambi (wa tatu kuume) katika mnuzo mdogo wa kujipongeza kupata nondozzz ya  PHD ya Chuo Kikuu cha Sokoine University (SUA) cha Mororogo
 Wadau wakimsikiliza kwa makini balozi wa tanzania nchini urusi Captain mstaafu Dr Jaka Mwambi wakati akitoa shukurani zake kwa waliompa taffu hadi akafanikiwa kupata nondozzz yake. Hapa alisisitiza kuwa elimu  haina mwisho na kwamba kila mtu kwa nafasi yake ajitahidi kuipata bila kujali wadhifa ama umri na kuwa kama akiona vipi ajaribu ujinga
 Mama Mwambi akimlisha keki mai hazbendi wake kwa kula nondozzz
 

Picha ya pamoja katika mnuso huo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. hongera sana Captain unaonyesha jinsi ulivyo Captain wa ukweli, waonyeshe viongozi wengine kuwa elimu husotewa sio kupewa kama pipi.
    You impress us,
    Ombi langu kwako tumia elimu yako na si kuifungia ktk mafaili ya ofisi

    ReplyDelete
  2. Hongera sana!Nenda kufundisha sasa maana hapo alipo utaoza nayo bureee.

    ReplyDelete
  3. Hongera Captain! usanifu wa Ubalozi wetu Urusi si mchezo! Nzuri sana.

    ReplyDelete
  4. Jamani, lengo langu sikuchafua hali ya hewa wala kuamsha hisia. Naomba niwajulishe kuwa mimi ni Mhadhiri Mwandamizi hapa SUA na sijawahi kuona mahala popote, yaani Balozi wetu ni mwanafunzi SUA. Hajawahii kurejister wala kugraduate hapa SUA.

    ReplyDelete
  5. Mheshimiwa hana qualifications za kujiunga na SUA. Acheni uzushi wajameni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...