Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Wamepaki au?

    ReplyDelete
  2. Mimi sijaona cha ajabu hapo.:Labda niseme barabara zetu nazo zinajengwa na mawakala ambao hawana taaluma; au wanabana matumizi. Hakuna vibao vinavyoonyesha alama za barabarani.Utakuta vibao vingine; vinasema 'Usiingie-No entry; huku vimefungwa na makaratasi;wengine wanapita; wengine wanaogopa.Mfano mzuri ni barabara ya kutokea soko la Kivukoni kuelekea kama Ocean Road hospital; ukipita ukingoni mwa bahari.Alama inasema,NO ENTRY; lakini inapitika,kwani ndio njia pekee tu iliyopo hapo.
    Pia sijaelewa maana ya kuweka kibao kule kwenye barabara inayokingana na bahari;eti huruhusiwi kupita baada ya saa kumi na mbili jioni; hivi kweli kuna Logic gani hapa?Kama kuna askari wa usalama/walinzi wapo pale muda wote na Defender; huku watumiaji barabara wanaambiwa wasipite; kulikoni???? Michuzi niwekee hii.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...