Hebu wape wadau vitu vilivyotulia na kukamilika ktk safu zote za bendi ya Nuta Jazz band, yaani vyombo vyote kuanzia magitaa, saxa, tarumbeta, ngoma, sauti na bila kusahau ujumbe mzito - MDAU
Home
Unlabelled
Nuta Jazz Band - Nipeleke kwa baba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ohhh zamani kulikuwa kutamu:
ReplyDeleteEeee mama eeeh mama eeeh mama nipeleke kwa baba!
Visa ulivyonitendea mama yangu mbele za Mungu huna sheria!
Eeee mama eeeh mama eeeh mama nipeleke kwa baba!
Hata ni makande kwa kachumbari nitakula bora nikiwa kwa baba yangu!
Eeee mama eeeh mama eeeh mama nipeleke kwa baba!
Sio mchezo, dakika tano tu nasinzia kwa ladha ya music.
ReplyDeleteMdau Anonymous wa Tue Feb 28 08:32:00 AM 2012
ReplyDeleteUMEPATIA LAKINI NAREKEBISHA KODOGO.
HAPO SEHEMU HIYO NI:
----------------------------------
Hata nikila makande kwa kachumbari bora nikiwa kwa baba yangu!
Eeee mama eeeh mama eeeh mama nipeleke kwa baba!
-----------------------------------