Kikundi cha wake wa viongozi nchini kikiwa kwenye picha ya pamoja na mara baada ya kumzawadia Mama Maria Nyerere zawadi mbalimbali ikiwemo tuzo ya heshima ikiwa ni ishara yakutambua mchango wake katika kuleta uhuru wa tanzania,Zawadi hiyo alikabidhiwa na Mama Siti Mwinyi mke wa Rais mstaafu wa awamu ya pili na Mama Anna Makapa ambaye ni Mke wa Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu ambao walikabidhi kwa niaba ya kikundi hicho kinachoitwa Milenium Women Group ambacho mwenyekiti wake ni Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda na shughuli hiyo ilifanyikia nyumbani kwa Mama Maria Nyerere Msasani jijini Dar es salaam.
Home
Unlabelled
WAKE WA VIONGOZI WAMZAWADIA MAMA MARIA NYERERE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...