Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Edith Mushi akikabidhi Francis Dande wa Globu ya Jamii zawadi kwa mshindi wa kwanza wa shindano la waandishi wa habari la uonjaji wa bia bora za kampuni hiyo wakati wa shindano lililofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Wataalamu wa kuonja kilaji  wakiwa shindanoni. 
 Shindano likiendelea
 Mshindi wa Pili Silvan Kiwale akipokea zawadi yake kutoka kwa Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Edith Mushi
 Mshindi wa tatu, Cliford Ndimbo akipokea zawadi yake kutoka kwa Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Edith Mushi
washindi wakiwa katika picha ya pamoja. Kutoka kushoto ni Cliford Ndimbo, Francis Dande na Silvan Kiwale

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. kweli tusitishane kwa nyama maana hata sambusa zinanyama,minyama yote ya ndimbo,siyo mtaalam wa kupiga maji kama dande?libeneke oyeeeee

    ReplyDelete
  2. Bahati yao Ankal hakushiriki, angeshinda zawadi zote tatu bila ulalamishi.

    Abiola Jr.
    Mafia kiduka cha juice

    ReplyDelete
  3. Kweli Bongo tambarare!! Wenzetu wanabeba kombe la Afrika sie twashindania kunywa pombe. Kuna lile shindano lingine alilo-post hapa hapa Michuzi la kula nyama!!!

    ReplyDelete
  4. Dad wangu Francis Dande hongera sana. itabidi unipitishie vikopo kama hujamaliza.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...