Banda la Arise Beauty Supply katika maonesho ya Harusi Trade Fair 2012 leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee hall jijini Dar es salaam. Maonesho hayo ya siku tatu ya kila mwaka yamepamba moto leo na kesho yanatarajiwa kuvutia wadau wengi zaidi
Wahudumu wa Arise Beauty Supply
Wadau wakipata huduma ya mafuta ya 'Ebenezer' yasiyo na kemikali. Arise wana maduka Mikocheni kwa Mwalimu na Sinza Mapambano jijini Dar es salaam. contact zao ni email ya info@arise.tz.com ama simu namba 0714311283 ama 0784521171
au tembelea libeneke lao BOFYA HAPA
au tembelea libeneke lao BOFYA HAPA
Ukipenda unaweza kutembelea website yetu www.ebeneze-arisebeauty.com pia.
ReplyDeleteKaribuni