Home
Unlabelled
kikwangua anga kipya cha ghorofa 20 cha chama cha Ushirika
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hivi hapa kwetu hatuna utamaduni wa kuvunja majengo ya zamani? Ingependeza zaidi hili jengo la zamani likivunjwa ili kupisha muenekani mzuri wa jengo hli jipya.
ReplyDeleteJee na parking mumeweka nafasi?
ReplyDeleteMaana siku hizi hawa Jiji wamefanya ni mtaji, huwa hawaweki alama yo yote kwenye sehemu na ukipaki tu wengine wanakudai mia tatu halafu anakuja mwengine kukuchaji 70,000 eti umepaki 'no parking area'
Uonevu mtupu hapa jijini.
poor planning, maghorofa yanazidi kuongezeka posta na kariakoo ila barabara hazipanuliwi ni zile zile foleni itazidi kutumaliza. kwa nini wasiige mfano wa mawasiliano tower pale sam nujoma, maana inapunguza population mjini.
ReplyDeletewewe mdau wa kwanza hivin wewe kweli una akili au umetoka mpanda wewe unataka nyumba za zamani zivunjwe ili kupata nafasi ya nyumba za kisasa kwa ni ni mji usipanuke kinyume cha kuvunja+
ReplyDelete