Jaji Mkuu wa mashindano ya Nyama Choma, Super Chef Douglas, akitumia kipima joto kupima jiko huku majaji wenzie wakisubiri kutoa maksi
Jiko la nyama choma likipimwa joto lake
Mpiga picha wa ITV Papaa Kaniki denda linakaribia kumdondoka anapopiga picha ndizi za Mbeya
Utaalamu wa kuchomam nyama si mchezo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...