Kikosi kabambe cha Uhuru Publications kinachoshiriki michuano ya soka ya Kombe la NSSF 2012 na tayari kimefanikiwa kutinga nusu fainali baada ya kufanya vyema katika mechi za awali. Chini Kocha Msondo akitoa mawaidha wakati wa mapumziko katika mojawapo ya mechi hizo. Uongozi wa timu hii umeshabihisha kwamba mwaka huu hawataki mchezo na kombe lazima litinge makao makuu mtaa wa Lumumba
Home
Unlabelled
uhuru publications yapania kutwaa kombe la NSSF, yatinga nusu fainali
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...