Kinyang'anyiro cha mashindano ya Copa Coca Cola chini ya miaka 17 wilaya ya Kinondoni kimeendelea tena leo katika uwanja wa Mwl. Nyerere, Magomeni Makurumla kwa kuzikutanisha timu za Biafra Kids dhid ya African Talent. Mechi hiyo iliyokuwa ichezwe majira ya saa 10 jioni ilichezwa saa 5 asubuhi kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo waandaaji.
Biafra Kids wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa klabu ya michezo ya Biafra muda mfupi kalba ya kuanza mechi

Mechi hii, wachezaji walipania sana kushinda baada ya kupoteza mchezo wao wa kwanza dhidi ya Eleven Boys kwa magoli 4 - 1. Hivyo walifanya mazoezi ya nguvu na kujiongezea ari kubwa ya ushindi na hatimaye kuichabanga timu ya African Talent kwa mabao 3 - 1.


Biafra Kids katika picha ya pamoja na wanachama na mashabiki
Kwa mapicha zaidi na habari

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...