Home
Unlabelled
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
je hiyo elfu 40 ya semina ni jumlisha na msosi au wanaprovide mapamfleti tuu?
ReplyDeletemmh. mie napita tu hapa. sitii neno.
ReplyDeletebora upite tu maana ukitia neno lazima litakuwa 100% umbea na majungu msiopenda mafanikio ya wenzenu.
ReplyDeletewe acha tu nilifikiri mie mwenyewe.sina la kusema
ReplyDeleteEmilian Busara ni mwezeshaji mzuri sana wa kimawazo, kimikakati na kitaaluma kuhusu nyanja za hisa na akiba. mimi nitahudhuria, alex bura dar,
ReplyDeleteMambo ndio haya sasaaaa!
ReplyDeleteMpango mzima ni uwezo na kupata utajiri bila kutumia 'Sayansi Asilia'
WANDUGU TUHUDHURIE MIPANGO YA KISASA NA YA KISAYANSI KAMA HII JUU YA KUAMSHA UWEZO WA KIPATO NA KUUPATA UTAJIRI BADALA YA KUTEGEMEA UCHAWI NA USHIRIKINA !
Mwenye hekima hufahamu alama na nyakati. Mwenye sikio na asikie na kuweka akili yake katika ufahamu
ReplyDeletemmhhhh!!!! haya
ReplyDeleteKwa kuwa mnaenda kufundisha jinsi ya kudhibiti pesa naomba mi nionyeshe kuwa najua kudhibiti pesa yangu kwa kuto kuja huko na kutumia elfu 40 kiingilio , mafuta elfu 20 na chakula na vinywaji 30 tayari inakaribia laki hapo bora nizidhibiti hizi, siji ng'o.
ReplyDelete