Kocha wa mchezo wa Masumbwi Abdalah Ilamba 'Komandoo' akimfanyisha mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo bondia Francis Cheka jijini Dar es salaam leo,Chaka anajiandaa na mpambano wake na Mada Maugo utakaofanyika jumamosi hii katika ukumbi wa PTA Sabasaba ambapo mshindi atakuwa bingwa wa Mkanda wa I.B.F na atanyakua Zawadi ya gari.
Home
Unlabelled
CHEKA AJIFUA KUMKABILI MAUGO JUMAMOSI HII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
mazoezi yenyewe wanayafanyia gesti, kazi tunayo mwanzo mwisho, si wangeenda uwanjani tu shule ya mwalimu Nyerere si karibu na hiyo gesti
ReplyDeleteHEE!!! nimeona hiyo mdau....nomaaa kwani hakuna gym mpaka bondia aende kujifua guest house?????huku tunapoelekea ni wapi sasa? halafu malalamiko eti kiwango cha michezo kinashuka!! kwa nini kisishuke kama mazoezi ya kujiandaa na pambano yanafanyika guest house???.... yarabi toba!!!
ReplyDelete