Mabondia wa Kambi ya Ilala wakijifua kwa ajili ya mashindano ya kumi bora ya mchezo wa ngumi yatakayofanyika May 4 katika ukumbi wa panandi panandi Ilala Dar es salaam.
Mabondia wa Kambi ya Ilala wakifanya Mazoezi ya kuruka Kichura chara kwa ajili ya kutafuta stamina na nguvu.Mazoezi hayo yaliyokua yakitolewa na Kocha wa Kimataifa wa Mchazo wa Ngumi. Rajabu Mhamila 'Super D' (hayupo pichani) kwa ajili ya kujiaandaa na mashindano ya kumi bora yatakayofanyika May 4 katika ukumbi wa Panandi Panandi Ilala Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mikwala tu hapo. Hakuna kitu.

    ReplyDelete
  2. hawa ndo mabondia?mnakyesa mkyesso......

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...