Mshindi wa Tuzo ya Fanaka ya Maisha (Lifetime Achievement Award) Mzee Fili Karashani akipongezwa kwa shada la maua na mwanahabari machachari kutoka Lindi Bw Abdulaziz Video
Mwanahabari mkongwe Ben Kiko akiwa na Tuzo yake
Ankal akimpongeza Ben Kiko kwa kuwa mteule wa wanahabari waliotukuka
Mama Edda Sanga akishuka jukwaani baada ya kupokea tuzo yake toka kwa Rais Kikwete.
Orodha kamili ya walioshinda tuzo BOFYA HAPA
Kwa picha zaidi ya tukio hili BOFYA HAPA
Orodha kamili ya walioshinda tuzo BOFYA HAPA
Kwa picha zaidi ya tukio hili BOFYA HAPA
Hongera waandishi wa habari! Nauliza hivi Ezekiel Mwalongo yupo wapi siku hizi? Maana simsikii tena kati ya wapiganaji.
ReplyDeleteJamani Mzee Ben Kiko ndiyo kwanza nione picha yako.
ReplyDeleteNakumbuka sana vituko vyako kwenye vipindi ulivyokuwa unaripoti.
Unakumbuka kisa cha yule mama Jaji aliyempiga kiatu cha ghorofa (rhizone enzi zile) mtuhumiwa mmoja wakati alipomshambulia mama mwenzake ambaye ndiye aliyeleta mashtaka.
Kwa kweli ilikuwa ni furaha tosha kukusikiliza ulivyokuwa ukiripoti na unastahili zawadi hiyo.
Mungu akupe umri mrefu uendelee kudunda.