Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mh. Said Mwambungu akimpongeza mmoja kati ya wahitimu 502 wa Stashahada ya Ualimu wa Chuo cha Ualimu cha Songea mara baada ya kumkabidhi cheti chake,wakati wa mahafali ya 11 ya chuo hicho.
 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mh. Said Mwambungu akizungumza na Wazazi,Walimu na Wahitimu katika Chuo Cha Ualimu cha Songea.kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho, Bi. Ilolima Lugomi na kulia Mkuu wa Chuo hicho,Selemani Ubaya.
 Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Songea,Selemani Ubaya (kulia) akimuongoza Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mh. Said Mwambungu kwenda kuzungumza na kugawa vyeti kwa wahitimu 502 chuoni hapo.
 Baadhi ya Wahitimu 502 wa Chuo cha Ualimu Songea katika ngazi ya stashahada,wakimsikiliza mkuu wa chuo hicho,Selemani Ubaya (hayupo picha) wakati wa mahafari ya 11 chuoni hapo.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mh. Said Mwambungu (kushoto) akisalimiana na Katibu wa Chama cha Walimu Mkoani humo,Bi. Luya Ngonyani alipowasili katika Chuo cha Ualimu cha Songea (matogoro) wakati wa mahafari chuoni hapo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...