Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bi. Nuru Millao akiinua juu ripoti ya watalii waliondoka nchini mwaka 2010 ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi wa ripoti hiyo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Utalii, Bw. Ibrahim Mussa akipitia kwa umakini kurasa za ripoti hiyo, leo, jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Taarifa hii haieleweki "watalii waliondoka" maana yake nini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...