Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu,akipanda mti aina mgwina katika chanzo kimajawapo cha maji katika mtaa wa matogoro chini manispaa ya songea jana wakati wa siku ya upandamiti kitaifa.
Meya wa manispaa ya Songea Charles Mhagama  kushoto,akimuonesha mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Mwambunu moja ya visima vya maji vinavyotumiwa na wakazi 800 wa mtaa wa matogorochini  manispaa ya songea, wakati wa siku ya upandaji miti ambayo kimkoa ilifanyika  wilayani songea jana, PICHA NA MUHIDIN AMRI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. ankal nadhani hapo ni manispaa ya Songea mkoani Ruvuma na si mkoani Rukwa.
    mdau rm

    ReplyDelete
  2. Mkoani Ruvuma ankal.... duuuh chonde chonde

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...