Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 12, 2012

    BABA HAKUNA SIKU IPITAYO KWETU BILA KUKUKUMBUKA KWA UPENDO NA UKARIMU WAKO, USHAURI MWEMA, MSIMAMO BORA NA BUSARA ZAKO KATIKA KUTULEA NA KUTUUNGANISHA SISI WANAO NA FAMILIA PAMOJA, BUSARA ZAKO ZIMEKUWA DIRA NA NURU KATIKA MAISHA YETU. TUNAENDELEA KUKUOMBEA NA TUNAENDELEZA YALIYO MEMA KWA WAJUKUU ZAKO.
    RAHA YA MILELE UMPE EEEH BWANA NA MWANGA WA MILELE UMUANGAZIE APUMZIKE KWA AMANI. – AMINA

    DR. NAFTALI S. MSHANA
    UFSM

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...