MWENYEKITI WA KAMATI YA MAANDALIZI YA MKUTANO WA AFDB AMBAO UNATARAJIWA KUFUNGULIWA SIKU YA JUMATATU JIJINI ARUSHA,BW NGOSHA MAGONYA AKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI MAPEMA LEO JUU YA MKUTANO HUO.KATIKA MKUTANO HUO NA WAANDISHI WA HABARI,MWENYEKITI HUYO AMESEMA KUWA MKUTANO HUO UTATUMIA GARAMA YA SHILINGI BILIONI 12 AMBAZO ZITAENDA SANJARI NA UJENZI NA UKARABATI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA MIKUTANO AICC.
BAADHI YA WANAKAMATI WA MKUTANO HUO WAKIJADILIANA MAMBO MBALI MBALI.PICHA NA MERY AYO WA GLOBU YA JAMII,ARUSHA.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...