Home
Unlabelled
Man City watwaa ubingwa wa Premier league - Man U mmmmhhh..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
daaah inauma xana cause imekula kwe2 ila poa 2takutana msimu hujao
ReplyDeletehujao au ujao?
ReplyDeletekiswahili kigumu
Mdau wa kwanza anachafua kiswahili. Mimi hakuna kinachonikera kama wapumbavu wanaotumia 'x' kumanisha 's'. Na huyo wa kwanza na mpumbavu mmojawapo. Wapi na wapi 'xana' ikawa 'sana'.
ReplyDeleteMzee wa Big G jana katafuna jiwe!
ReplyDeleteHongera Baloteli, ndiye aliyebadilisha mpira baada ya kuingia. Wachezaji wengine walikwisha kosa mbinu za kupiti basi la QPR.
ReplyDeleteUshindi wa Man C,
ReplyDeleteImejidhihirisha ya kuwa kila Ngariba nae ana Ngariba wake!
Huyo anayejulikana anakata wenzie inafikia siku anakutana na aliyemkata yeye!
Man U Ngariba wake ni Man C !
Mpo hapo?
uwezi, kutegemea ubigwa kwa kuvu za mwenzio,man U hoi
ReplyDelete