Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania,Jaji Buxton Chipeta akizungumza na Mahakimu, Wenyeviti wa Mabaraza ya Wilaya ya Ardhi na Nyumba na Madalali wa Mahakama katika warsha ya kupitia Ripoti ya Mfumo wa Haki za Madai leo jijini Dar es Salaam.katikati ni Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Agnes Mgeyekwa na kulia ni Mratibu wa Mradi wa BEST Athanasia Soka.
Washiriki wa Warsha ya mapitio ya Ripoti ya Mfumo wa Haki za Madai ambao ni Mhakimu, Wenyeviti wa Mabaraza ya Wilaya ya Ardhi na Nyumba pamoja na Madalali wa Mahakama wakimsikiliza Jaji Mstaafu Chipeta.
Ofisa Sheria Mkuu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Anjela Shila (katikati) akisisitiza jambo wakati wa kujadili Mapitio ya Ripoti ya Mfumo wa Haki za Madai Tanzania.
Baadhi ya washiriki walioko mkoani Mbeya nao wakipitia na kujadili Ripoti hiyo (Picha na Munir Shemweta wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania)
Vikao viiingi,utendaji zero!nadhani mwaka wa fedha unaishia hivyo lazima pesa zilizobaki ziishe kwa namna yoyote.
ReplyDeleteMungu ibariki Bongo land....