FLORA  Chamtepa  (22) akipimwa  afya kwa   hiyari  na  Muhudumu  wa  afya , Anna Katumbo katika  uzindizi  wa mkakati  wa Mfuko wa Taifa  wa Bima  ya Afya  wa   upimaji  wa  afya  wa  hiyari  uliofanyika  katika  viwanja  vya  Shule ya Sekondari Msakila  mjini Sumbawanga jana wakati  mfuko  huo ukisherehekea  miaka  10  ya  Kujituma  na Kuaminiwa
 MWANAFUNZI wa  Shule ya  Sekondari Msakila  Elizabeth  Tweve akipimwa  afya kwa   hiyari  na  Muhudumu  wa  afya , Anna Katumbo katika  uzindizi  wa mkakati  wa Mfuko wa Taifa  wa Bima  ya Afya  wa   upimaji  wa  afya  wa  hiyari  uliofanyika  katika  viwanja  vya  Shule ya Sekondari Msakila  mjini Sumbawanga jana wakati  mfuko  huo ukisherehekea  miaka  10  ya  Kujituma  na Kuaminiwa, huku wanafunzi wengi  wa  shule  hiyo wakisubiri zamu  yao
MWANAFUNZI wa  Shule ya Msingi Mazwintiswe , Winfrida Pius  (11) akipimwa urefu na  Muhudumu wa afya , Violet Simba  kabla ya  akipima  afya  yake  kwa hiyari  katika  uzindizi  wa mkakati  wa Mfuko wa Taifa  wa Bima  ya Afya  wa   upimaji  wa  afya  wa  hiyari  uliofanyika  katika  viwanja  vya  Shule ya Sekondari Msakila  mjini Sumbawanga jana huduma  hiyo  inatolewa bure  na mfuko  huo ambao  unasherehekea  miaka  10  ya  Kujituma  na Kuaminiwa, Picha na Peti Siyame

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...