Mtaalam wa kuunganisha kebo za mawasiliano (kulia) na msaidizi wake wakitandaza mkonga huo katika ufukwe wa Msasani, Dar es Salaam, na utafikishwa hadi Visiwa vya Shelisheli ili kuboresha mawasiliano ya mitandao ya simu na intaneti .Picha na Robert Okanda
Mtaalam wa kuunganisha kebo za mawasiliano (kulia) na msaidizi wake wakitandaza mkonga huo katika ufukwe wa Msasani, Dar es Salaam, na utafikishwa hadi Visiwa vya Shelisheli ili kuboresha mawasiliano ya mitandao ya simu na intaneti .Picha na Robert Okanda

NYINYI WENYEWE BADO MPO KWENYE kbps BADALA YA KUBORESHA KWENU MNAPELEKA SHE SHELI..INTERNET HAPA BONGO BADO NI SPEED YA CHINI SANA, WAKATI WENZETU WAPO KWENYE Mbps sisi tupo kwenye kbps...HATA SIELEWI TATIZO LIPO WAPI WAKATI CABLE IPO MLANGONI KWETU.
ReplyDeleteZanzibar na sisi mtatuletea lini YAKHEEEEEEEEEE!!!
ReplyDeleteMichuzi JK aliishwa kwambia kuwa hauitwi 'MKONGA' ni 'MKONGO'
ReplyDelete