Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Mohammed Gharib Bilal (katikati) akizungumza na Makamu wa Rais wa For Conervation Policy kulia na Waziri wa Fedha wa Kenya Mhe. Robinson Njeru baada ya kumalizika kwa mkutano wa siku mbili kwa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu maendeleo endelevu kwa nchi za bara la Afrika uliomalizika mjini Gaborone Botswana jana jioni.
Home
Unlabelled
Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wamalizika nchini Botswana,Pia Mama
Asha Bilal akutana na Watanzania waishio nchini Botswana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...