Mustafa Hassanali explaining to Tanzanian High Commissioner to Uganda HE Ladislau Komba when he paid him a courtesy call in kampala on 25 May 2012.
Mustafa Hassanali paying acourtsey call to Tanzanian High Commissioner to Uganda HE Ladislau Komba in kampala on 25 May 2012.
Tanzanian High Commissioner to Uganda HE Ladislau Komba with Minister Pleniportary Anisa Mbega and Mustafa Hassanali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 25, 2012

    Hongera kwa matembezi hapo Ubalozini, bila shaka umemfikishia mh. Balozi ujumbe wenye manufaa kwa taifa. Pamoja na hayo, angalia uzito naona unarudi tena ndugu yangu,

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 26, 2012

    Dah mustafa vipi tena? mbona uzito unarudi kwa kasi ya ajabu?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 26, 2012

    mavidonge ya Mchina hayo ndiyo kazi yake

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 26, 2012

    kaka mustafa mbona unaanza kuwa kibonge tena...vp jombii!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...