Mkurugenzi wa Idara ya Kupambana na Madawa ya Kulevya na Kurekebisha tabia Ahmed Awadh Salim akimkaribisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais Fatma Abdulhabib Fereji aliekushoto yake katika maadhimisho ya Siku ya kupiga vita Madawa ya Kulevya hapo Acrotanal mjini Unguja.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais Fatma Abdulhabib Fereji akitoa hotuba ya Ufunguzi wa maadhimisho ya Siku ya kupiga vita Madawa ya Kulevya hapo Acrotanal mjini Unguja.
Vijana waliokuwa wameathirika na Utumiaji wa Madawa ya kulevya wakicheza mchezo wa kuigiza namna ya mtu akimia madawa ya kulevya na kuweza kujikinga na utumiaji wa madawa hayo katika Ufunguzi wa maadhimisho ya Siku ya kupiga vita Madawa ya Kulevya hapo Acrotanal mjini Unguja. PICHA NA YUSSUF SIMAI -MAELEZO ZANZIBAR


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...