Manji akiwasili Makao Makuu ya Yanga.
Saidi Motisha akimkaribisha mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji kuingia Makao Makuu ya klabu hiyo wakati wa usaili
Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji akiteta jambo na mwanachama wa klabu hiyo, Bi. Rukia Mohamed Makao Makuu ya klabu Dar es Salaam, alikokwenda kufanyiwa usaili kwa ajili ya uchaguzi mdogo.
Manji akiwasili Makao Makuu ya Yanga.
Manji akizungumza na waandishi wa habari
Mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Yanga, Sarah Ramadhani naye akiingia wakati wa usaili

Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga (mwenye tai) akiwa na mgombea wa nafasi ya ujumbe, Peter Haule baada ya kufanyiwa usaili kwa ajili ya uchaguzi mdogo.
Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa yanga, Clement Sanga (wa pili kushoto) akiwa na baadhi ya wanachama wa Yanga baada ya usaili
Manji akiondoka baada ya kufanyia usaili na kamati ya uchaguzi.
Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii
Haya bwana mwenye pesa mpishe....
ReplyDeleteSomebody has to care of other people!
ReplyDeletePesa mwanaharamu! Kwa kihaya wanasema ekyalema amahera, naga. Yaani kilichoshinda pesa, tupa mbali...
ReplyDeleteKWELI MWENYE PESA MPISHE HUYO MANJI KISHAPITA ANGALIA ALIVYO POKELEWA NA HUYO MDADA MGOMBEA MWENZA ALIVYO POKELEWA NA WATU WAMEISHA CHORA MCHONGO HUYO SAIDI MOTISHA JINA LAKE SAIDI KONGOGO ANAJUA SASA MANJI ULAJI HUO NA HUYO MDADA KAKATIWA KITU KIDOGO NA MANJI AJE ONYESHA SURA KWAMBA MGOMBEA MAMBO YAPO PALEPALE ARKKAUNUL ISLAM HAMSAT HAIFUTIKI HATA MARCIMO ANAERUDI ENDELEZA BIASHARA YA BRAZIL NA AKINA MANJI
ReplyDeleteKaka yangu Yusuph Manji
ReplyDeleteNakujua wapenda sana klab yako!! Ningekushauri ungeachana na kugombea hiyo nafasi kwani kwa uelewa wangu unachokifanya ni kutafuta kushushiwa heshima tu mambo yatakapokwenda mrama! Wewe kaa nje kama mfadhili au ugombee nafasi ya kuwa mtu mashuhuri tu hapo mtaa wa Twiga vinginevyo yetu macho!! wengine hutolewa kwa bakora!!Je upo hapo!!!!
Inasikitisha. Yaani kabisa mtu mwenye akili timamu anagombania nafasi ya kuongoza Yanga ama Simba?
ReplyDeleteManji hagombei uenyekiti yanga, anagombea nafasi ya kuidai yanga pesa nyingi kijanjajanja halafa ainunue kwa bei ya bure! subirini muone!!
ReplyDeleteBora Yanga inunuliwe na Manji iwe Kampuni binafsi badala ya kuwa kama Tawi la Chama ambapo Wazee na watu wa njaa kali wanaitumia kama SACCOS !
ReplyDeleteManji umekosea kitu kimoja tu!
ReplyDeleteZiara yako hapo Klabuni Jangwani ungewapanga watu kwa sinia za pilau uone vile watu wangekanyagana!
Ohoooo, hivyo Vizee na vibandiko vyao na hao Masela wangetafuta mifuko ya Rambo kuwekea ubwabwa!
Shaba/Ubeche mchezo?