Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania, imezindua vifurushi vipya vya intanet ambavyo vitawawezesha wateja wake kupata huduma ya internet kwa shilingi 250 tu kwa siku.

Sasa wateja wanaweza kuperuzi internet kwenye simu zao za mkononi, komputa na tablets kwa bei nafuu zaidi na spidi ya uhakika.

Nunua kifurushi chako sasa kwa kupiga *149*01# na changua Internet.
Wateja wa Vodacom wanaweza kununua vifurushi vy tofauti tofauti kulingana na mahitaji yao kuanzia cha siku, wiki hadi mwezi. Bei za vifurushi vya internet vinavyopatikana ni.

Unaweza ukanunua kifurushi kwa kutumia SMS , tuma jina la kifurushi kwenda 15300. **Vifurushi visivyo na kikomo pia vinapatikana

Kuweza kujua makadirio ya matumizi yako ya internet tembelea http://www.vodacom.co.tz/datacalculator/index.html

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 19, 2012

    Huu ni wizi, inawezekanaje Unlimited inakuwa na namba kwenye ujazo????
    Mimi.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 19, 2012

    Huu ni wizi, inawezekanaje Unlimited inakuwa na namba kwenye ujazo????
    Mimi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...