Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mnyaa Mbalawa, akizungumza na Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano cha Kampuni ya Simu za mkononi Airtel Tanzania, Beatrice Singano nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma, muda mfupi baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2012/13
Naibu Waziri Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba (kushoto) akiwa na Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Innocent Mungy nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma, muda mfupi baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2012/13
Naibu Waziri, Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba akipongezwa na Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano cha Kampuni ya Simu za mkononi Airtel Tanzania, Beatrice Singano nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma muda mfupi baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka 2012/13


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...