Ratiba ya mazishi ni kama ifuatavyo:
Saa 5:00 - 6:00 Chakula nyumbani kwa marehemu Mbagala Zakheem
Saa 6:00 - 7:00 Mwili kupelekwa Kanisani Muhumbili
Saa 7:00 - 7:30 Kuingia kanisa la Muhimbili
Saa 7:30 - 8:00 Misa ya Marehemu
Saa 8:00 - 9:00 Last Respects (Kuaga Mwili)
Saa 9:00 - 9:00 Kutoka Muhimbili kuelekea Makaburi ya Kinondoni
Saa 10:00 - MAZISHI.
Mola aiweke Roho ya Marehemu
mahali pema peponi
-AMINA
Mola aiweke Roho ya Marehemu
mahali pema peponi
-AMINA



Poleni wafiwa: mjane, watoto, ndugu, jamaa na marafiki wa karibu wa marehemu. Nilimfahamu marehemu kwa miaka mingi alikuwa mkarimu, mcheshi na mchangamfu sana. Ulale mahali pema peponi muinjilisti Franco, hadi tutakapokutana tena kama Bwana alivyoutahidi.
ReplyDeletemdau calif.