Familia ya Bw. Zebadia Mkindi Kimambo wa Arusha Kimandolu tunakukumbuka mpendwa mama yetu Bi Martha Kimabo kwa kutimiza mwaka mmoja  tangu ulipo ulipoiaga dunia. 

Mama unakumbukwa na wanao Christopher, Cathbert ,Eliamani  pamoja na wakwe zako na wajukuu pamoja na ukoo wote wa Kimambo na Macha. 

Mama upendo wako  na mawazo pamoja na ushauri vitabaki mioyoni mwetu daima. Tunakuombea pumziko la amani mpaka hapo Mungu atakapotukutanisha tena mbinguni - Amina

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...