Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Tunamtafuta fundi mwenye uzoefu wa kuchimba visima kwa kutumia mashine ya kichina ya Water Well Drill Rig XY- 100 kama hiyo hapo chini. 
Mashine ni mpya na ndio inataka kuanza kufanya kazi.
Nafasi ya kazi ipo wazi.                                                                                                                                     Kwa mawasiliano zaidi wasiliana kwa simu zifuatazo: 
0713479716 au 0719674144.

Mdau Erick Morro.
                                                                                              

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...