Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 27, 2012

    Baada ya Gaddafi wanafuatia hawa:

    1.Meles Zenawi -Ethiopia
    2.Yoweri Museveni-Uganda
    3.Robert Mugabe -Zimbabwe
    4.Yahya Jammeh -Gambia
    5.Isaiah Afewerki-Eritrea

    Hivi ni nani aliwaambia ya kuwa maisha hayawezekani nje ya Utawala ?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 27, 2012

    Watawala wa namna ni kwamba hawatendi haki kwa wananchi wanaowaongoza. Ndiyo maana hawataki kutoka Ikulu kwa kuwa wanaogopa sheria inaweza kuwaadhibu kwa waliyofanya na wanayoendelea kufanya. Viongozi wa aina hii ndiyo wanaokimbia hata vivuli vyao kwani wametawaliwa na wasiwasi. Wanataka wafie Ikulu kwa kisingizio eti walipigania uhuru.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 27, 2012

    Shabash

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...