| KAMANDA WA POLISI MKOA WA ARUSHA ( ACP) LIBERATUS SABAS AKIWA NA MKUU WA KITENGO CHA POLISI JAMII MKOA WA ARUSHA (SP) MARY LUGOLA PAMOJA NA WADAU WA POLISI JAMII KUTOKA KUSHOTO MWENYE KIBARAGHASHIA NDG.FAISAL SHAHBHAI NA NDG. RICHARD MASSAWE WAKIWA WAMESHIKA KOMBE LA POLISI JAMII KWA PAMOJA KUASHIRIA USHIRIKIANO KATI YA JESHI LA POLISI NA JAMII.MICHUANO HIYO YA POLISI JAMII CUP KWA MKOA HUU INATARAJIWA KUANZA LEO TAREHE 26/07/2012 KATIKA NGAZI YA KATA. PICHA na Mahmoud Ahmad wa Globu ya Jamii, ARUSHA). |
Home
Unlabelled
MICHUANO YA KOMBE LA POLISI JAMII ARUSHA KUANZA LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...