Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua miche ya kahawa wakati alipotembelea shamba la katika kijiji cha Likopelo wilayani Songe vijijini wakati wa sikukuu ya Sabasaba
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama ngoma wakati  alipozindua kampeni  ya kimkoa  ya matumizi  ya matrkta makubwa katika kilimo mkoani Ruvuma iliyofanyika kwenye uwanja wa zimamoto mjini Songea 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa  kampeni  ya  kimkoa ya matumizi  ya  Matrekta makubwa katika kilimo mkoani Ruvuma iliyofanyika kwenye  uwanja wa zimamoto mjini Songea 
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwasha trekta wakati alipozindua kampeni ya  kimkoa ya matumizi ya matrekta makubwa katika kilimo mkoa wa Ruvuma iliyofanyika kwenye  uwanja wa zimamoto mjini Songea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...