Bondia Wema Sepetu akimkimbia mpanzani wake Jacklen Wolper wakati wa mpambano wao


 Kocha wa Wema Sepetu ,Rashidi Matumla akimvua Joho wema kabla ya kupigana

Mabondia ambani ni wacheza filamu maarufu nchini Wema Sepetu kushoto na Jacklen Wolper wakioneshana ufundi wa kutupiana masumbwi wajkati wo Tamasha la vMatumaini lililofanyika jumamosi katika uwanja wa Taifa
Refa John Chagu akiwainua mikiono juu mabondia Jacklen Wolper kushoto na Wema Sepetu kuashiria mpambano wao ni droo

Wema na Wolper baada ya mpambano
Mdau wa mchezo wa Masumbwi Nchini Ibrahimu Kamwe akimwelekeza bondia Wema Sepetu kitu
Baada ya mpambano wawili hawo hawo wanaondoka eneo la tukio

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 08, 2012

    Ngumi na lipstick eh!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 08, 2012

    Umaarufu unatafutwa kwa tabu sana. haya bwana mabondia wetu....

    ReplyDelete
  3. mabondia hawana hata mikwaruzo usoni na wala jasho halikufuta lipstick zao. Hili kweli ni onyesho la matumaini

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 08, 2012

    SIJAELEWAGA HUU MPAMBANO NI WA UZITO GANI? NA WANAGOMBEA MKANDA UPI?

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 09, 2012

    Hata kama it was for fun, si waandaaji wangewapa yale makofia wanayovaa mabondia amateurs?

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 09, 2012

    Mpambano wa Ngumi kati ya Jackline Wolper na Wema Sepetu!

    NINA WASIWASI NA UWEZEKANO WA HAYA MAWILI HAPA CHINI:
    1.MATOKEO KUPANGWA, !
    2.MAZINGIRA YA RUSHWA, !
    (Inawezekana mmoja wa Bondia amempa mwenzie 'chochote' ili asimpige sana)!

    SIKUBALI INABIDI TUKATE RUFAA KWENYE MASHIRIKISHO WA DUNIA YA NGUMI AU KAMA VIPI IPANGWE WARUDIANE NA MAREFA KUBADILISHWA HADI MSHINDI APATIKANE!

    AU SIYO BANDUGU?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...