Huyu ni muuzaji wa Mahindi mabichi katika moja ya vijiji vilivyopo mbele kidogo ya mji wa Segera Mkoani Tanga,kiukweli ufanyaji wa biashara wa huyu mtu na wengine wengi katika maeneo hayo ni wa hatari sana,maana anatokea pembeni mwa barabara huku akielekea barabarani kwa spidi sana kiasi kwamba kama hauko makini barabarani waweza poteza muelekea kwa kutaka kumkwepa,na mbaya zaidi ni kwamba anasimama barabarani kabisa huku akiwa hana tahadhali ya magari ya upande mwingine.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 13, 2012

    ankal ni kweli kabisa mimi nilishuhudia mwenyewe wakati natoka Tanga wiki iliyopita yaani hao vijana wanajitakia matatizo tu yaani wanajitokeza barabarani na hawana mpango wa kupisha

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 13, 2012

    The local 'el matadores', look at his pose, lol! The Spaniards play with bulls, huku Bongo we got fellas who play with cars!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 13, 2012

    Mdau asante kwa kutoa picha hii maana hii huwa ni kero kubwa sana katika barabara ya Chalinze-Segera. Huwa napita sana katika barabara ni hatari kwa kweli...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...