Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimianana Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimatifa Benard Membe,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo,kwa madhumuni ya kutoa mkono wa pole kwa Rais kutokana na Ajali ya Meli ya Mv Skagit ya Kampuni ya Seagull,na kusababisha wananchi kupoteza Roho zao.
Picha na Ramadhan Othman,Ikulu Zanzibar


dah jamaa anachukua picha sijui video kwa kutumia IPAD jamani hizo camera za ipad sio maalum kwa kupigia picha au video za namna kama hizo mwe!
ReplyDeletewanafiki tu wanakuja kutoa pole walikuwa wapi
ReplyDeleteibaniye michuzi utamwaga unga wako ukiweka si ndo unavyo fanyaga kila siku
hizo aibu za kupiga picha kwa iPad nilijua ni huku kwetu tu uswahilini, duh kumbe hata ikulu zina fanyika............ hahahahaahaahahah
ReplyDeleteSasa nisipotoa iPad kupiga picha utajuaje ninayo?
ReplyDelete