Home
Unlabelled
yale yaleeeee....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sasa kama umesema "....wana aleji ya KUFUATA sheria..." kwa nini basi wasizifuate? Huo MSHIKAKI unadhani patokee ajali patakuwa na manusura hapo? Au huyo dereva ayumbe kidogo tu kwenye 'sharp corner' au afunge brake ghafla bin vuu! unadhani hao watoto wadogo tu, watakuwa na balance ya kukumbatiana mithili hiyo, si wote watapururukia barabarani. Tujaribu kuzifuata sheria na taratibu zote za barabarani zilizowekwa, ili kama si kuzipunguza, basi iwe kuziondosha kabisa ajali za barabarani, japokuwa tunaamini ajali haina kinga, lakini pia KINGA NI BORA KULIKO TIBA.
ReplyDeleteHapo mahali ni pasafi sana! Hongereni Arusha.
ReplyDelete