Mkurugenzi mkuu wa Babyshop,Bw Malcolm Schulz akihojiwa na waandishi wa habari katika uzinduzi wa duka lap jipya lililopo Mlimani City jijini Dar es Salaam
Bw Malcolm Schulz, Mkurugenzi Mkuu wa Babyshop akiangalia matoyi muda mfupi baada ya kufanyika uzinduzi rasmi wa duka hilo.
Mkurugenzi mzawa hakuna?
ReplyDeleteAnony Thu Aug 09, 02:36:00 PM 2012 ushindwe na ulegee kwa ubaguzi.
ReplyDeleteNguo za watoto zinaonekana nzuri.
eti Ghana Dubai ya africa, ndivyo alivyokudanganya ??? Waghana wako bongo kibao na wenyewe kwa kauli zao wanasema bongo ni babu kubwa.Halafu wewe unayesema UK kuna kazi !!!! chunga mdomo wako, usiwafanye wana olympic wetu kuzamia bure kisha wakaoshe vyombo kwenye restaurant za waarabu na waturuki,halafu malipo ni kula yao tu maana hawana makaratasi.Acha uongo.Zebedayo msema kweli.
ReplyDeleteMdau wa kwanza, mkurugenzi kwa hapa UK ni mwenyemali au kampuni yake au ana hiza nyingi au rafiki wa mwenye mali. Wafanyakazi ndio wanakuwa hao uliowataja.
ReplyDeleteInapendeza na kutia moyo na zaidi furaha kwa watoto wetu, kwani wataweza kunufaika na vitu mbali mbali vya kuchezea na nguo mbali mbali toka katika duka hilo la BABYSHOP. Angalau na sisi sasa tuna 'Mother Care' yetu. Pia Samsonite shop ipo, hivyo wa kusafiri safiri mambo mazuri kwenda na wakati kwa kujichagulia design unayotaka,
ReplyDeleteBaby shop,Splash,Centre Point,Lifestyle ni mali ya LANDMARK Group headquarter yake ni Manama Bahrain na Regional office ni Jebel Ali- Dubai.wana maduka na branches Middle East yote pia Dar na Nairobi ndio waanza kufungua maduka yao.
ReplyDelete