Baadhi ya kazi zetu ni:
1. Kutafuta bidhaa kulingana na mahitaji ya mteja
2. Kudesign website, desktop and mobile application
3. Kusafirisha mizigo kutoka China kwenda Tanzania, na nchi nyinginezo
4. Huduma za utalii na nafasi za masomo kwa wanaohitaji kusoma katika vyuo vikuu vya nchi ya China.
5. Kutafuta watalii na kutangaza makampuni na utalii wa nchi za Afrilka kwa mataifa mengine.
Makazi yetu ni nchini China, katika miji ya Beijing, Shanghai, Yiwu , Guangzhou na Hongkong.
Tunakaribisha maoni na ushauri kutoka kwa wadau wote
G12 International Co. Ltd.
Web: http://g12.hk
E-mail: info@g12.hk
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...