Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tamisemi, Hawa Ghasia ( aliyesimama) akisoma hotuba yake ya ufunguzi wa mafunzo ya s awali ‘ Orientation ‘ kwa Wakurugenzi hao wapya 36 kati ya 45 wa Mamlaka za Serikali za Mitaa ( hawapo pichani) Augosti 13, mwaka huu, ( kushoto ) ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, na ( kulia) ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Alphayo Kidata, mafunzo hayo ni ya siku nne.
Baadhi ya Wakurugenzi Watendaji wapya wa Halmashauri za Wilaya , wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tamisemi, Hawa Ghasia ( hayupo pichani) Augosti 13, 2012, wakati alipofungua mafunzo ya siku nne ya awali ‘ Orientation ‘ kwa Wakurugenzi hao wapya wa Mamlaka za Serikali za Mitaa wapatao 36 kati ya 45.
Wakurugenzi Watendaji wapya wa Halmashauri za Wilaya , wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia , ( wanne kutoka kushoto) pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , Joel Bendera ( watatu kutoka kushoto) na kushoto kwa Waziri ni Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro, Lydia Mbiaji , mara baada ya Waziri huyo kufungua mafunzo ya awali ‘ Orientation ‘ ya siku nne kwa Wakurugenzi hao wapya 36 kati ya 45 wa Mamlaka za Serikali za Mitaa.Picha zote na John Nditi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...