Mchekeshaji Maarufu Nchini kutoka Vuvuzela Entertainment,Evans Bukuku akikafanya vitu vyake usiku wa kuamkia leo katika kiota cha maraha cha Nyumbani Lounge,Namanga jiji Dar wakati wa Shoo yake ya kuvunja mbavu za watu (kuchekesha katika stand up comedy).
Evans Bukuku akiendelea kuchana mbavu za watu kwa vituko vyake wakati wa Shoo yake ya kuvunja mbavu za watu (kuchekesha katika stand up comedy) iliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye kiota cha maraha cha Nyumbani Lounge,jijini Dar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...