Mwanasheria wa wakazi wa zilizokua kota za bandari Gerezani , Dkt. Sengondo Mvungi (kulia) akizungumza na wateja wake jijini Dar es salaam Katika moja ya mikutano na wakazi hao kuhusu maendeleo ya kesi yao iliyoko mahakama kuu ya Tanzania na kwa mujibu wa kesy namba 44 ya mwaka 2012 taarifa zilizochapichwa na mtendaji mkuu wa wakara wa usafiri wa haraka 'DART' kwa wahanga wakapokee fidia zao linakiuka amri ya Mahakama Kuu,iliyotajwa tarehe 28,6,2012 hivyo mnashauliwa kuto tii agizo hilo pia wahanga wa bomoa bomoa wanaalifiwa kuhudhuria kikao cha pamoja na wakili huyo tarehe 11,8,2012 katika ukumbi mtakaoarifiwa na kamati yao.
Home
Unlabelled
TANGAZO KWA UMMA :YAHUSU WANANCHI KWA UJUMLA NA WAHANGA WA BOMOA BOMOA NYUMBA ZA WAKAZI WA KOTA ZA GEREZANI KARIAKOO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Asante South Law Chambers Advocates na Mwanasheria Dr. Mvungi. Ukisoma habari kutoka nyumbani utafikiri kwamba hakuna wanasheria wano jali haki za binadamu. Mahakama hawezi kutoa sharia na kwapa fidia ya uharibifu na uvunjifu ya haki za kibnadamu. Kila kheri wakazi wa gerezani kwenye kesi yenu.
ReplyDelete